Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni – Kigoma yatoa huduma ya upasuaji kwa mgonjwa mwenye tatizo la nyonga kwa mara ya kwanza ikiwa ni siku ya tano ya kambi ya matibabu ya kibingwa na Ubingwa B... Read More

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni – Kigoma yatoa huduma ya upasuaji kwa mgonjwa mwenye tatizo la nyonga kwa mara ya kwanza ikiwa ni siku ya tano ya kambi ya matibabu ya kibingwa na Ubingwa B... Read More
Leo tarehe 26 Mei, 2025, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni -Kigoma imezindua Rasmi kambi ya matibabu ya kibingwa na bingwa bobezi yenge lengo kuwasogezea huduma na kuwapunguzi... Read More
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni - Kigoma leo tarehe 24 Mei,2025 imefanya mkutano na Waandishi wa Habari kwa lengo la kuwajulisha ujio wa kambi ya matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi. ... Read More
Ifikapo tarehe 12 Mei kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya Wauguzi ikiwa ni sherehe za kumuenzi mwasisi wa taaluma hiyo Florence Nightingale ambapo kitaifa maadhimisho hayo yamefanyika mkoan... Read More
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni - Kigoma leo imetoa zawadi kwa idara zilizofanya vizuri katika masuala ya kukinga na kudhibiti maambukizi (IPC) kwa lengo la kuchochea utendaji ili... Read More
Wananchi mkoani Kigoma watakiwa kujitokeza kupata matibabu ya kibingwa ya magonjwa ya Afya ya akili katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni -Kigoma wakati wa kambi ya kibingwa ya magonjwa h... Read More
Leo tarehe 28/02/2025 watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni -Kigoma wapatiwa mafunzo ya kinga na kukabiliana na majanaga ya moto kwa lengo la kuendelea kuzuia majanga ya moto katika... Read More
Leo tarehe 03 Machi, 2025 wananchi wamejitokeza kufanya uchunguzi pamoja na matibabu ya magonjwa ya akili katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni - Kigoma ikiwa ni siku ya kwanza ya kambi y... Read More
Kikundi cha Kigoma Ladies Gala kimetoa zawadi kwa kinamama wanaopatiwa huduma katika wodi ya wazazi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni -Kigoma. Zawadi hizo zenye gharama ya Tsh 170,000/=... Read More
Wizara Afya imeendesha mafunzo kwa timu ya uendeshaji wa Afya katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni – Kigoma, Mafunzo yanayolenga kujenga uwezo wa kutunza mradi wa Tanzania M... Read More