core values

Kanuni za Msingi Katika Kutoa Huduma na Uwajibikaji

Ili kufikia malengo haya Hospitali itaongozwa na kanuni za msingi zifuatazo;


  1. Uadilifu na usawa katika kutoa huduma kwa wateja
  2. Uwajibikaji
  3. Ukarimu na kujali wateja
  4. Maadili ya kazi
  5. Heshima kwa watumishi wote na wateja
  6. Haki ya mteja kupata huduma
  7. Kuchukia na kupiga vita rushwa
  8. Utoaji wa huduma bora
  9.  Usawa katika upatikanaji wa huduma
  10. Usiri na faragha kwa wateja