kambi ya madaktari bingwa yamalizika kwa ufanisi mkubwa

Posted on: September 28th, 2019

akiyasema hayo Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni amepongeza huduma iliyotolewa na madtari Bingwa wa Hospitali mbalimbali kama Muhimbili na Bugando.