HUDUMA ZA DHARURA ZAANZA KUTOLEWA RASMI KWENYE JENGO JIPYA (EMD) HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA MAWENI

Posted on: November 7th, 2022

Uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni Kigoma unawatangazia wananchi wote kuwa huduma za  Wagonjwa wa Nje na Dharura kwa sasa zinapatikana jengo jipya la wagonjwa  wa Dharura na Mahututi (EMD & ICU)


HUDUMA ZA KIBINGWA NA BIMA ZITAENDELEA KUTOLEWA KWENYE MAJENGO YA AWALI